Dina Marios ni mtangazaji wa radio wa kipindi cha Uhondo cha E fm radio.Balozi wa Oxfam ,muanzilishi wa kitchen party gala, mwenye tuzo ya mwanamke wa mwaka Tanzania ya mwaka 2013-2014utapata mambo yote ya kiburudani hasa kipindi cha uhondo na inspiration talks za kimaisha.
Deve receber o email de ativação da StatsVideo nos próximos 3-5 minutos.
Deve clicar num link no email para dar início à sua subscrição gratuita.
Não recebeu o email? Veja a sua pasta de SPAM.