SERA NA MWONGOZOGILLY BONNY ONLINE TV, Tunawafahamisha watazamaji wetu kuwa tunatangaza habari zetu kwa kuzingatia Ueledi, uwiano, Ubora, Haki na usawa, kila habari tunayoripoti ni ya ukweli, uhakika Inatoa fursa kwa pande zote, bila kuangalia Udini, Ukabila wala ubaguzi na ina tija kwa jamii na taifa.Hivyo tunatoa wito kwa Watazamaji wetu kujiepusha na mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi, kuvuruga, kuharibu ama kuhatarisha amani ya mtu, jamii, ama taifa.Ikumbukwe kuwa Kwa Mujibu wa sheria Mwaka 2018 tumepewa Leseni na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA, hivyo tunafanya kazi kwa usimamizi wa Mamlaka hiyo, kwa hiyo Mtazamaji wetu yeyote atakayetoa maonii yanayokwenda kinyume na sheria akaingia kwenye matatizo na TCRA au mamlaka nyingine za Kiserikali GILLY BONNY ONLINE TV haitahusika kwa lolote.Aidha Haturuhusu Mtu yeyote kuchukua habari zetu na kuzitumia kwa Malengo yake binafsi bila kutoa Taarifa ama kuwasiliana na Uongozi wa Gilly Bonny Online Tv,